Duration 10:1

Waziri MKENDA Anena Mazito Zoezi la Ugawaji Miche ya Kahawa Wilayani Rombo//Aipongeza Bodi ya Kahawa

213 watched
0
2
Published 20 Dec 2021

WAZIRI WA KILIMO Prof Adolf Mkenda Ameipongeza Bodi ya Kahawa pamoja na Taasisi ya utafiti wa Kahawa Tanzania TaCRI Kwa kuhakikisha kuwa wakulima wanagaiwa miche bora ya Kahawa ili kuongeza ufanisi na uzalishaji wa kahawa kwa wakulima katika mikoa mbalimbali inayozalisha kahawa.

Category

Show more

Comments - 0