Duration 2:20

CORONA TANZANIA: VIFO VYAONGEZEKA, WAGONJWA WAFIKIA 88, WALIOPONA 11, WAZIRI ASISITIZA KUJIKINGA..

128 602 watched
0
398
Published 15 Apr 2020

CORONA TANZANIA: VIFO VYAONGEZEKA, WAGONJWA WAFIKIA 88, WALIOPONA 11, WAZIRI ASISITIZA KUJIKINGA.. IDADI ya wagonjwaa wa Corona nchini, imepanda hadi kufikia wagonjwa 88, ambapo wizara ya afya imethibitisha na kuendelea kutoa rai kwa wananchi kujikinga kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na serikali. UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982) (+255 676 229628) Email: globaltvbest@gmail.com abbymrisho@gmail.com HABARI MPYA DAILY: http://bit.ly/habarimpya HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

Category

Show more

Comments - 113