Duration 1:59

Magufuli: Maoni ya watanzania baada ya kutangazwa kifo cha Rais wao

216 286 watched
0
863
Published 18 Mar 2021

Ni usiku uliojawa simanzi na majonzi kwa watanzania walio wengi. Hii ni baada ya kutangazwa rasmi kifo cha Rais wa Jamuhuri ya muungano wa tanzania aliye wavutia wengi kwa misimamo yake ya kukemea uzembe wizi na uvunjifu wa sheria.

Category

Show more

Comments - 225