Duration 4:49

Tazama magoli yote Simba ilivyoitafuna Dodoma Jiji 3-1 kwa Mkapa - VPL

296 708 watched
0
1.4 K
Published 27 Apr 2021

SIMBA VS DODOMA JIJI: Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Chris Mugalu amefunga magoli mawili, Luis Miquissone amefunga moja huku Cleophace Mkandala akifunga goli pekee la Dodoma Jiji. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Category

Show more

Comments - 198