Duration 5:46

Haji manara huyoo Nigeria msikie alichokisema utofauti wa safari za Yanga na wakati yupo Simba

92 941 watched
0
447
Published 17 Sep 2021

Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: /c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+ harakatizabongo

Category

Show more

Comments - 176
  • @
    @fahadhamad49243 years ago Mi young mkishinda nakunya hadharani mnaenda kufa tu
    nigeria.
    1
  • @
    @loishiyesamwel13743 years ago Yaani utopolo mnafurahisha kweli, acheni utoto upigwe nyumbani halafu wakuache kwao. 2
  • @
    @yayananajota58383 years ago Baada yapo utasikia jamani ongeeni na kochi aahaa sio mimi. 1
  • @
    @joycemagessa3503 years ago Mungu akusimamie ktk kila jambo kipawa umepewa. 6
  • @
    @yahyahamad18023 years ago Sababu moja tayari mshatuelezea kua nigeria kuna mvua nendeni mkapigwe mkirudi mlete sababu nyengine. 1
  • @
    @mosesmlowe70063 years ago Haji anauwezo mkubwa sana wa ushawishi anajua namna ya kuwatengeneza watu kisaikorojia very nice brother.
  • @
    @sayimasele50543 years ago Jaman njaa mbaya sana tunatakiwa kutafta hela lakn syo kuabdu pesa maana utahangaika maisha yote kama bro anavyohangaika duh pole bro. 1
  • @
    @swaleheabdallah26323 years ago Kazi mnayo mm kama naijeria nasubiria ushindi tu kama sisi tuliambiwa tuna corona wao ndio wanacorona zaidi ya watu sita. 1
  • @
    @georgemmbando55183 years ago Unatuwaza sana hii ni club kubwa syo utopolo. 8
  • @
    @omaryonga17763 years ago Anaongea kiunyonge mpaka huruma aisee. Mungu wabariki wanaijeria washinde. Yanga warudi kuwapokea wageni wa simba. 2
  • @
    @buyukubwa97133 years ago Kule hamtoki hamna watu wa kazi manara pole sana. 1
  • @
    @labanakyoo41773 years ago Utarudi kichwakwenye mashindano utopolo pumbavu wee. 2
  • @
    @kosovoawadh83623 years ago Kwahiyo kuna watu wamejilipia sasa kwanini mnasema yanga mmekodi ndege hovyo kabisa kaleni kichapo. 1
  • @
    @aliabass93923 years ago Mi nawaombea mle kichapo kizito sana na mi nasema insha allah mtapata kipigo mpaka mjutie kwenda huko manake wewe ni mwanakwenda msohaya usiejua vibaya! ikisha kwa unavyokohoa kohoa bila shaka unakorona weye msukule tunawashauri madaktari wakufafyie vipimo vya coronavirus na iki bidi uwekwe kwenye karantin. ...Expand 2
  • @
    @anagresimaria95563 years ago Huyu manara sijamwelewa et mchezo mgumu siwez kusema tutashinda ila tunajiamini jamani huyu sio yuda kweli. 1
  • @
    @mahengomwenyewe42043 years ago Kijana kimefitiniwa kikafitinika kimebaki mashavu yamemshuka kama anapuliza moto. 1
  • @
    @gilbertngemela67523 years ago Hizi kauli alikuwa haziongei simba yaan tayar anaonesha unyonge. 9
  • @
    @emmanuelmasse62193 years ago Tulianza vizuri kwenye usajili ila sasa hivi tunahitaji kuombewa ili tushinde.
  • @
    @simonmchali6623 years ago Kabla ya mechi yuko kimbelembele kuongea, haraf wakifungwa anawakimbia waandishi wa habali na kuwambia wamfuate kocha, kwanini hata sasa asimuachie kocha aongee! 2
  • @
    @mactweve33533 years ago Dah ila kuisemea timu mbovu ni shida jamani. 4
  • @
    @emmanuelbonifas35173 years ago Nigeria haina huruma mtakacho kipata utaongea tena wale jamaa sio we nenda na matokeo ya cheo chako uone. 1
  • @
    @binbadru16543 years ago We mtangazaji cc km watanzia hatuamini km yanga watapindua meza cc tunaamini yanga anagongwa ila mnajipa moyo tu lkn mshajua chapati lazima ichomwe upande wa pili. 1
  • @
    @vascokasambala21593 years ago Ulipo kua na smba ulikua unajiamini kwasasa naona ziii. 1
  • @
    @jellymbogo72463 years ago Tangu kaenda hko, ameshakua mwekundu balaaa. 5
  • @
    @waziribori22803 years ago Jamani simba raha huyu jamaa anateseka vibaya anaona aibu toka msemaji wa mabingwa wa nchi mpaka chawa kweli ulimwengu ni shujaa. 2
  • @
    @mahengomwenyewe42043 years ago Unapata shida ya kutafuta ya kuongea maana tim bovu uko na taka hakuna wachezaji unaumiz kichwa chawa. 2
  • @
    @dausondaudi38233 years ago Mnaenda kuigiza mumeongozana na waigizaji?
  • @
    @mohamedmwehuz97313 years ago Huyo jamaa sijui kama anawezaongea maneno sita bila kuitaja simba ila anawezaongea maneno arobaini bila kuitaja timu yake inayomlipa mshahara. 4
  • @
    @kosovoawadh83623 years ago Wewe boya uwezi kusema mpaka utaje mtalaka wako roho inauma sana. 1
  • @
    @hajiliparapate64843 years ago Waandishi muulizeni kabisa na maswali baada ya kurudi mana wakipigwa tu msukule wanampa ulinzi asihojiwe. 3
  • @
    @zeinashaaban61673 years ago Ila mm nimeona kama haj amebadilika kawa kama kahawiya hiv yani tofauti alivyokuwa simba alikuwa mweupee yani duh pole msukulee. 1
  • @
    @raymondmagway48413 years ago Naona maisha ya ndg yangu manara yatakavyokua magumu akiwa yanga, sijui kama atamaliza msimu akiwamanara. 1
  • @
    @albertinemabilo41393 years ago Hayo maneno yako haji na domo lako yanawaumiza wanayanga. Kwa mpira ule tuliouona. Ni miujiza tu. 1
  • @
    @solomonlolotai56393 years ago Tushazoea kelele zako baba tunataka vitendo bwana haji na yanga ikifungwa sura yako utaiweka wapi. 1
  • @
    @ajmilee42043 years ago Sisi km wanaijeria tunasema kisasi ni haki. Km mlivowapa corona wachezaj wetu wanne na sie tutasema na wachezaj wenu. Mnakula nne. 3
  • @
    @yusuphmpando99003 years ago Uneingia chakike brother bado mechi 2 utolewe mkuki kama paka mwizi. 1
  • @
    @gibsonjosephat63523 years ago Hao washabiki went awatsishia hotelini tu.
  • @
    @jerrymaro88403 years ago Mkuu ungekaa na moo tu mambo yangekuwa marahisi unajitesa sana.
  • @
    @dullybrown36353 years ago Kaka haji naona nidhamu ya kuongea kidoogo imerudi. 1
  • @
    @ngoyben24093 years ago Mie. Nashagaa. Wegine. Hawajaaza. Lingi. Yanga. Katolewa.
  • @
    @vascokasambala21593 years ago Je umekumbuka kubeba kapu la kubebea magoli? 4
  • @
    @fredricjames7743 years ago Mzee wa watu amekuwa mpolee tofauti alivyokuwaga simba coz anajua hana uhakika wa kushinda mechi dhidi ya rivers. 3
  • @
    @simbamaduhu16003 years ago Hakuna mpira tunaishi kwa kuomba mungu ili tushinde. 1
  • @
    @jonasansaid18083 years ago Nilicho elewa unaongea kwa wasiwasi sana kwani tatizo nini meza sii itaenda kupinduka tuu.
  • @
    @yahyahamad18023 years ago Usije ukawakimbia waandishi mkirudi uko mshapigwa. 1
  • @
    @masanjamkama80683 years ago Popo ww unajitafuna mwenyewe na kurudia matapishi yako, dua ya nn wakati ulisema mungu hasiki dua la utopolo. 1
  • @
    @jamesjolam36253 years ago Nyie waandishi mda mwingine kama vile amnazo vile nyie si ndo mlitimuliwa kama mbwa juzi tu apa au.
  • @
    @godfreymasele88533 years ago Haji domo hanauhakika ndomana kapowa anajuwa kinachokwenda kutokea nikipigo. 1
  • @
    @johnsonmbwana14053 years ago Mananala ashajua kunakipigo ndo maanaa hana uhakikq.
  • @
    @kassidpandu8663 years ago Hata dar mlisema mmejipanga pia na result tumeiona.
  • @
    @gulamomar63943 years ago Msukule anatafuta kick kuwataja simba kila dakika. 1
  • @
    @vascokasambala21593 years ago Wewemsukule mtu akiishiwa maji uyo apelekwi kanisani kuombewa bali anapelekwa ospitali kutibiwa. 3
  • @
    @vicentvenent4473 years ago Mbona kama hana furaha. Ivi ndo haji manara wa simba yule!