#HEDHI #MAGONJWA #WANAWAKE #MIMBA
HEDHI, MWANAMKE AKIINGIA MWEZINI, RANGI YA DAMU YA HEDHI, SABABU YA KUTOKWA DAMU NYEUSI KWENYE MZUNGUKO WAKO WA HEDHI, RANGI YA DAMU INAYOTOKA KWENYE PERIOD YAKO..
@DrElaantz @CuteFlora @wamachinga @DMENDTVmusicMovie1 @FAFANUOMEDIA @BarakaMaheriTheStoryTelleR @SimuliziNaSauti @TheDiamondplatnumz @godandworkministriesintern5136
Category
Show more
Comments - 24
@
@user-dv1zk9kj2d6 months agoUbarikiwe sana docta mahana mimi nilikuwa nimesha kuwa nawasi wasi. 1
@
@zuwenamatiku44802 years agoAsante kaka me dam yangu ya braun alaf nitoka kdogo na nikwel nimepitiliza tangu tarehe 10 mapaka 23 ndo nimeingia jaman nashukuru maana nilikuwa namawazo. 1
@evodearrenatus4072 years agoMbona damu nyeusi amgusii au ndo atali sana. 1
@
@user-lc6lh5sp7p3 months agoMe daktar nilienda period tarehe17/12 lakin nilikutana na mt wangusijui atar ilikua lini japo nilikua napata dalili za mimba na kuna mda dam ilikua inatoka kidogo inakata ila nimeeingia tarehe24lakin mpaka leeo dam imetoka sasielew. ...Expand
@
@pantaleekapichi67893 years agoMbona huelezei kuhusu kutoka damu nyeusi? 3
@
@jennifaonesmo602last yearNimetokea damu nyeusi miez 7 inamaanisha nini.
@
@jesumirrowkhamisi75089 months agoDoctor me nilikuwa natokwa uchafu mweupe ukeni nikaanz kutumia dawa ziitwazo dox, cipro na metro nimeanz kutoka uchafu mweusi san ana damu na utelez shida ni nn haswa.
@
@dianajohn20672 years agoMm nmejifungua tarehe 28 mwez wa 10, lakn sasa toka jana nmetoka damu ni kawaida kwel au nina shda? Damu ina rangi nyekundu ila sio sana.
@
@user-vg5iy9us3m3 months agoKama napata damu ndogo sana siku moja nainakata siku za musunguko wangu iyo ni hedhi ao bado sio hedhi.
@maryamhamidu90983 years agoNajee dam nyeusi inaashiria nn afu inatoka kidgo. 6
@
@marybenard5111last yearMe niko na shida mzunguko wangu ni siku 28 lakin sasa umeishia siku 25 na huwa nina kuwa na siku tano katja siku zangu lakin sasa ziliishia 4 na leo siku ya 7 imetoka hiyo damu imanichanganya sana ata siielew rang yake. 1
@
@user-vg5iy9us3m3 months agoJaribu kuongeya haraka ili tukufwate vizuri yani kwenda kwenye point.
@
@JVannTozy-hy3solast yearMt kutoka damu ya mireda wakati wahevi ni nini.
@
@winnieangelo19363 years agoMm natokwa na dam kabla ya hethii akin damu iyo nikidogo na utoka kwa kipindi kirefu je tatz ni nn.
Related videos for SABABU YA KUTOKWA NA DAMU NYEUSI KWENYE MZUNGUKO WAKO WA HEDHIINAMAANISHA NINI..: